allfeeds.ai

 

Gurudumu la Uchumi  

Gurudumu la Uchumi

Author: RFI Kiswahili

Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
Be a guest on this podcast

Language: sw

Genres: Business

Contact email: Get it

Feed URL: Get it

iTunes ID: Get it


Get all podcast data

Listen Now...

Uwazi kwenye ubinafsishaji wa mashirika ya uma ni muhimu kwa maendeleo
Wednesday, 11 March, 2026

Msikilizaji Katika miaka ya hivi karibuni, nchi nyingi za Afrika Mashariki zimekuwa zikifanya mageuzi makubwa ya kiuchumi. Mojawapo ya mageuzi hayo ni ubinafsishaji wa mashirika ya umma. Leo tunajiuliza, Je, ubinafsishaji ni kweli unasaidia uchumi kukua, au serikali inapaswa kubaki na umiliki wa mashirika muhimu?

 

We also recommend:


Stealing Market Share
Stealing Share - Beyond Theory

JJ Media & Online Services LLC
JJ MediaOnlineLLC

The Partner Podcast
Attorney Search Group

TanagerWealth
Tanager Wealth Management

TaxChat with Mike Deblis
Mike Deblis

CQ Circles Podcast
The Character Quest Organization

Coach Tim and Spider Juice Technologies
Coach Tim O'Keefe

| 6

The Fliplet Podcast Series
Fliplet

Sichtbarkeitsakademie für dein Marketing mit Herz

The Venture
Virgin Atlantic / Gimlet Creative

Di:s intervjupodd
Dagens industri