![]() |
Jukwaa la MichezoAuthor: RFI Kiswahili
Makala haya yanaangazia maendeleo ya michezo mbalimbali Ulimwenguni na pia huwa haiwaweki kando wanamichezo waliobobea na vilevile kufanya uchanganuzi wa kina wa michezo wakati wa mashindano mbalimbali. Language: sw Genres: Sports Contact email: Get it Feed URL: Get it iTunes ID: Get it |
Listen Now...
Mbio za nusu fainali Kombe la Dunia, Kocha mpya wa Yanga ni nani?
Saturday, 11 July, 2026
Tuliyokuandalia leo ni pamoja na uchambuzi wa raundi ya 16 bora na robo fainali michuano ya Kombe la Dunia, Misri na Morocco zikiaga mashindano, Mbappe na Messi wang'ang'ania kiatu cha dhahabu, Yanga yapata kocha mpya Manqoba Mngqithi kutoka Afrika Kusini, Emmanuel Wanyonyi avunja rekodi ya mita 1000m mashindano ya Diamond League, mchezo mpya wa Flag Football waendelea kukua na kupata umaarufu Afrika.











