allfeeds.ai

 

Jua Haki Zako  

Jua Haki Zako

Author: RFI Kiswahili

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
Be a guest on this podcast

Language: sw

Genres: Government

Contact email: Get it

Feed URL: Get it

iTunes ID: Get it


Get all podcast data

Listen Now...

Kenya : Ahadi ya serikali kwa jamii za wachache
Monday, 22 December, 2025

Kila disemba 18 dunia huadimisha siku ya  Kimataifa ya Jamii za Walio Wachache  siku inayolenga kuzikumbusha serikali na jamii wajibu wa kulinda haki, heshima na ushirikishi wa makundi ambayo kwa miaka mingi yamekuwa yakidai kuachwa nje mipango ya serikali Nchini Kenya, jamii za walio wachache, zikiwemo jamii za wafugaji wanaohamahama, zimekuwa zikidai hazitambuliwi kikamilifu, kukosa huduma za msingi, na kutengwa katika maamuzi muhimu ya kitaifa. Makala haya yanaangazia mipango ya serikali ya Kenya kwa jamii hizo.

 

We also recommend:


Crossroads 2012
Crossroads Community Church

Junto Podcast
Junto Podcast

Construyendo realidad, por Enrique Iommi
Quique Iommi

Santa Clara County - Radio Town Halls
Manu Martinez

The Mediator's Studio
An Oslo Forum podcast

The Young Libertarian
Brody

What's the Narrative?
Juan Delgado

Peace Is The New Frontier
Jeff Frye

Science, Religion, and Womans Reproductive Rights
Trinity Rodriguez

Táxi VS Uber



City of Ventura: Planning Commission Video Podcast
City of Ventura