![]() |
Wimbi la SiasaAuthor: RFI Kiswahili
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa Language: sw Genres: News Contact email: Get it Feed URL: Get it iTunes ID: Get it |
Listen Now...
Kwanini kampeni za mapema zimeanza nchini Kenya, mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu ?
Tuesday, 11 August, 2026
Ni mwaka mmoja, kuelekea uchaguzi mkuu nchini Kenya. Uchaguzi huo utafanyika tarehe 10 mwezi Agosti mwaka 2027. Wakenya watamchagua rais, Magavana, Maseneta, wabunge, wawakilishi wa kike na viongozi wa Wadi mbalimbali. Hata hivyo, joto la kampeni ya mapema, imeshaanza kushuhudiwa, hasa kwenye kinyanganyiro cha urais. Nini kimesababisha joto na kampeni za uchaguzi mkuu kuanza mapema nchini Kenya ? Tunachambua.










