![]() |
Wimbi la SiasaAuthor: RFI Kiswahili
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa Language: sw Genres: News Contact email: Get it Feed URL: Get it iTunes ID: Get it |
Listen Now...
Matukio makubwa ya kisiasa yaliyotikisa Afrika Mashariki na Kati mwaka 2025
Wednesday, 31 December, 2025
Matukio makubwa ya kisiasa tuliyochambua mwaka 2025 ni pamoja na kifo cha aliyekuwa mwanasiasa mashuhuri nchini Kenya Raila Odinga, uchaguzi wenye vurugu uliofanyika nchini Tanzania Oktoba 29 na kutiwa saini kwa mkataba wa kumaliza vita Mashariki mwa DRC, Desemba 04, jijini Washington DC nchini Marekani.








