![]() |
HATUA 6 ZA SAFARI KUELEKEA KATIKA BIASHARA INAYOJIENDESHA YENYEWEAuthor: Azhar Juma
Hatua 6 za Safari kuelekea kwenye biashara inayojiendesha Language: sw Genres: Business, Entrepreneurship Contact email: Get it Feed URL: Get it iTunes ID: Get it |
Listen Now...
MTU MWENYE BIASHARA INAYOMUINGIZIA KIPATO KISICHOJITOSHELEZA LAKINI BIASHARA INAKUA-( Aina ya tatu)
Episode 4
Friday, 24 January, 2020
Je huyu biashara yake ipoje kimapato?. 1. Biashara inaingiza faida 2. Matumizi ya mwenyewe biashara ni makubwa kuliko faida anayoingiza. 3. Tofauti na ile aina ya pili, hii ni biashara ina uwezo wa kuongeza wateja, mauzo na faida hatimaye kuifanya faida yake kuwa kubwa na kutosheleza matumizi binafsi.













